Kitabu cha matumizi ni mojawapo ya vitabu muhimu sana sana itakayokuwezesha kujua kwa hakika kiasi gani cha fedha inatoka katika biashara yako. Sambamba na mapato, biashara yeyote hutumia fedha kwa ajili ya ma...
Mpango wa biashara wengine wanauita mchanganuo wa biashara sio kitu kigumu sana kama ukipenda kurahisisha.Mpango wa biashara ni maelezo ya kina ambayo inaonyesha biashara yako ilikotoka, inakokwenda, hali ya ...
Kitabu cha mikopo ni muhimu ili kutunza kumbukumbu zote za mikopo, kama umechukua mkopo kutoka kwa rafiki, ndugu, kijijini, serikalini, taasisi yeyote ya kukopehsa au benki, rekodi hapa chini ili uweze kufuatil...
Taarifa ya Biashara
Maelezo ya AwaliMfumo wa Biashara
Aina ya Biashara: Trading / Huduma / Viwanda
Jina la kisheria:
Namba ya Leseni ya biashara:
Anuani
Biashara ya mahali
Namba ya simu...
Utunzaji wa Vitabu vya Fedha
Utanzaji ni nini?
Kuweka vizuri visiibwe, visiharibike, visiharibiwe, vikitakiwa vipatikane kwa haraka nkKama neno linavyosema “vitabu vya fedha” ni moyo wa biashara yako. Vik...
Upatikanaji wa mkopo unategemea sana mahitaji ya biashara yako kimtaji na mtandao wako wa jamaa, ndugu na marafiki na ndugu.Njia rahisi ya kupata mkopo ni:Mkopo kutoka kwa Ndugu, Jamaa na Marafiki wa...
Japokuwa hutakiwi kukopesha hovyo hovyo, lakini tafiti zinaonyesha kuwa biashara inayozungusha sana mtaji na faida ni ile inayokopesha kwani wateja hupenda kununua sana kwa mfumo huu wa kukopesha. Rekodi madeni...
Lemburis Kivuyo amekuwa akitoa ushauri wa biashara na ujasiriamali tangu mwaka 2005, kutengeneza mchanganuo au mpango wa biashara ni sehemu ya kazi yake anazozifanya nchini Tanzania.Kama wewe una biashara a...
“BWANA akamwambia, Ni nini hiyo uliyo nayo mkononi mwako? Akasema, Ni fimbo.” Kutoka 4:2Hakika ulichonacho MKONONI inatosha kabisa kubadili maisha yakoMusa alishika fimbo tu hakuwa na kitu kingineWewe u...
Ujasiriamali ni nini?Kuna tafsiri nyingi za ujasiriamali lakini zote zinaleta kwenye maana moja ya kugundua au kubuni biashara yenye faida na kuifanyaTafsiri mbalimbaliUjasiriamali ni kukabiliana na ...
UtanguliziUchimbaji wa madini ni kuyatoa madini kutoka ndani ya ardhi kuja nje na kuyapa dhamani kwa kukata (vito vya dhamani) au kusafisha (metali) kwa ajili ya matumizi ya binadamu. Uchimbaji wa madini inah...