Jinsi ya Kubuni Biashara na jinsi ya Kubuni Miradi ni kitu kimoja kwa maelezo haya chiniTafsiriBiashara: ni mradi uliobuniwa ili kutatua matatizo au mahitaji ya watu (ambao ndio wateja) kwa malipo au fidia ...
Wasifu wa Lemburis Kivuyo ni pamoja na kuwa mshauri wa biashara na TEHAMA katika kubuni biashara, na miradi, kuanzisha na kusimamia ili ilete faida iliyokusudiwa.Ninafanya ushauri wa miradi ya jamii, biasha...
UTANGULIZIKuanzia tarehe 1 Februari 2018 #BRELA ilitangaza kuanza kutumika kwa mfumo wake wa kuwawezesha wamiliki wa makampuni na biashara kusajili na kuwasilisha returns BRELA. Pia BRELA ilishatangaza kwamba...
TANGAZO KWA WASOMAJI WA UKURASA HUUUtaratibu mpya wa kusajili kampuni kupitia mtandao umeanza rasmi tarehe 22 Machi 2018 na hapohapo BRELA kutangaza kutopokea tena nyaraka ngumu kuanzia tarehe 25 Machi 2018.
...
Ujasiriamali ni neno la kiswahili linalotokana na maneno mawili yafuatayoUjasiri
Wa maliHii ina maana ya mtu mwenye ujasiri wa kuwekeza mali alizonazo ili apate faida
Ninafanya na kufundisha namna rahisi ya kuandika mchanganuo wa biashara kuanzia zile za biashara ndogondogo mpaka biashara kubwa.Taarifa muhimu za kuambatanisha niMakisio ya Mauzo ya Mwaka - Turnover...
Benki ni mkopeshaji mkubwa na mgumu kwa mazingira ya Tanzania. Pamoja na hayo benki wana masharti maalumu ambazo nazo hutofautiana kulingana na nani anakopa, anaokopa kiasi gani na kwa ajili ya biashara ipi na ...
Stadi za Maisha ni ujuzi ambao sio rahisi watoto au vijana wapate kupitia mitaala ya kawaida darasani au vyuoni. Ni ujuzi wa asili ambao mtoto au kijana anaupata katika mazingira yake ya asili (Hapo anapoishi)....
Kitabu cha stoo lengo lake ni kuweka kumbukumbu ya bidhaa za kuuzwa au malighafi ili zisipotee bure au kuibiwa. Na pia inawezesha kutumika vizuri au kuuzwa kwa utaratibu mzuri bila kujichanganya. Kila bidhaa ir...
Biashara yeyote ina mali za muda mrefu kama shamba, nyumba, fanicha, mashine nk. Kwa hiyo kitabu cha mali ya biashara lengo lake ni kuweka kumbukumbu ya mali zote za biashara yako ili isipotee bure au kuibiwa.
...
Kwa kweli ukitaka biashara yako ife kwa haraka, fanya bila ya kuwa na kitabu cha mapato. Hata mfanyakazi wako ambaye ni mwaminifuAndika fedha zote zinazoingia katika biashara yako kama mapato, mfano umeuza nyan...