Notice: Undefined index: name in /home/jewajua/ujasiriamali.co.tz/wp-content/plugins/caldera-forms/classes/render/modals.php on line 164
Notice: Undefined index: name in /home/jewajua/ujasiriamali.co.tz/wp-content/plugins/caldera-forms/classes/core.php on line 4383
Notice: Undefined index: name in /home/jewajua/ujasiriamali.co.tz/wp-content/plugins/caldera-forms/classes/render/modals.php on line 164
Notice: Undefined index: name in /home/jewajua/ujasiriamali.co.tz/wp-content/plugins/caldera-forms/classes/core.php on line 4383
Ili kukokotoa GPA yako uliyopata baada ya kufanya mitihani ya chuo ya semester au ya kufunga mwaka unatakiwa kujua yafuatayo
- Idadi ya units katika kila somo
- Mfumo wa kuweka maksi yaani grading unatumia mfumo upi yaani A, B+, B, C, D, E, F. Pia ujue A ina anzana na kumalizikia na maksi ngapi na grade zingine hivyo hivyo
- Fomula ya GPA ni (Jumla ya point ulizopata MARA units kwa masomo yote)/Jumla ya Units zilizowekwa kwenye masomo
Tafadhali pakua file hapa chini la Excel 2007 ikiwa na uwezo wa kubeba data za wanafunzi 37, na masomo 11, manne semester ya kwanza na saba semester ya pili. Mfano huo ni kwa vyuo vya ufundi vilivyo chini ya NACTE kwa Upande wa NTA6
Kwa maswali na maoni tafadhali tumia nafasi ya maoni hapa chini
[download id=”4236″]
Mwisho (End):
Kama umependa makala hii weka maoni yako ya shukrani hapo chini au washirikishe marafiki zako wa kwenye Facebook, Instagram, Linkedin, Whatsapp, Twitter na kwenye email au mitandao mingine ya kijamii. Wasiliana nasi kama unataka kuweka kwenye blogu au website yako kwa maelekezo zaidi
If you found this article helpful please leave the comment below or share to your friends in Facebook, Instagram, Linkedin, Whatsapp, Twitter and in email or other social media. Contact us if you plan to list in your blog or website for further instructions.
English Form | Fomu ya Kiswahili |
Leave a Reply