Notice: Undefined index: name in /home/jewajua/ujasiriamali.co.tz/wp-content/plugins/caldera-forms/classes/render/modals.php on line 164
Notice: Undefined index: name in /home/jewajua/ujasiriamali.co.tz/wp-content/plugins/caldera-forms/classes/core.php on line 4383
Notice: Undefined index: name in /home/jewajua/ujasiriamali.co.tz/wp-content/plugins/caldera-forms/classes/render/modals.php on line 164
Notice: Undefined index: name in /home/jewajua/ujasiriamali.co.tz/wp-content/plugins/caldera-forms/classes/core.php on line 4383
Baada ya kutiwa motisha kuwa Mfanyabiashara Huwezi kuwa Mfanyabiashara mpaka umemiliki biashara. Ili Kubuni na Kuanzisha Biashara Ndogondogo mtu anatakiwa ajue yafuatayo:
Aina Tatu (3) za Biashara
- Kutengeneza bidhaa (Manufacturing) – Kutengeneza bidhaa ni kutumia rasilimali watu na malighafi ili kutengeneza bidhaa ya kuuza kwa mlaji au mchuuzi. Bidhaa ni kama vyakula, vyombo, nk
- Kuuza bidhaa (Trading) – Kuchuuza bidhaa zilizotengenezwa hapo juu no. A(a)
- Kutoa huduma (Service) – Kutumia ujuzi wako au wa wengine katika kuwahudumia watu na shida zao kwa malipo. Mfano kufundisha, kutibu, kusafirisha, kutumbuiza nk
Mwisho (End):
Kama umependa makala hii weka maoni yako ya shukrani hapo chini au washirikishe marafiki zako wa kwenye Facebook, Instagram, Linkedin, Whatsapp, Twitter na kwenye email au mitandao mingine ya kijamii. Wasiliana nasi kama unataka kuweka kwenye blogu au website yako kwa maelekezo zaidi
If you found this article helpful please leave the comment below or share to your friends in Facebook, Instagram, Linkedin, Whatsapp, Twitter and in email or other social media. Contact us if you plan to list in your blog or website for further instructions.
__________________________________________________
We offer but not limited to the following:
Business Office Documents Development, Company Registration, Business Plan Development, Curricula Development for colleges, Office Digitization Consultancy, Online Presence and Marketing Consultancy, Leadership and Management Consultancy, Constitution Development and much more
English Form | Fomu ya Kiswahili |
NAOMBA KAMA KUNAUWEZEKANO WA KUPATA FOMU YA MIKOPO HIYO NAOMBA NIJURISHWE KUPITIA E-MAIL YANGU(danieldainess@yahoo.com)
NIMEBUNI BIASHARA AMBAYO INAWEZA KUNIPATIA KIPATO PAMOJA NA KUKUZA TEKNOLOJIA YANGU KATIKA BIASHARA HIYO, MI NILIKUWA NA SHIDA YA MKOPO WA SHILINGI MILIONI 3, KATIKA KUENDESHA BIASHARA HIYO, NA NITAFATA VIGEZO NA MASHARITI NITAKAYOPEWA NA WATOAJI WA MIKOPO HIYO.