Notice: Undefined index: name in /home/jewajua/ujasiriamali.co.tz/wp-content/plugins/caldera-forms/classes/render/modals.php on line 164
Notice: Undefined index: name in /home/jewajua/ujasiriamali.co.tz/wp-content/plugins/caldera-forms/classes/core.php on line 4383
Notice: Undefined index: name in /home/jewajua/ujasiriamali.co.tz/wp-content/plugins/caldera-forms/classes/render/modals.php on line 164
Notice: Undefined index: name in /home/jewajua/ujasiriamali.co.tz/wp-content/plugins/caldera-forms/classes/core.php on line 4383
Gharama za usajili wa kampuni BRELA kwa ufupi ni
- Gharama za usajili wa kampuni ndogo ya chini hisa za Shs milioni ni Shs. 1,117,200
- Gharama za usajili wa kampuni ya kati hisa za Shs milioni 1 hadi milioni 5 ni Shs. 1,297,200
- Gharama za usajili wa kampuni ya kati hisa za Shs milioni 5 hadi milioni 20 ni Shs.1,432,200
- Gharama za usajili wa kampuni ya kati hisa za Shs milioni 20 hadi milioni 50 ni Shs.1,512,200
- Gharama za usajili wa kampuni ya kati hisa za zaidi ya Shs milioni 50 ni Shs. 1,862,200
- Gharama za usajili wa kampuni isiyo na hisa ni Shs. 1,372,200
- Gharama za usajili wa jina la biashara ni Shs. 80,000
Usajili wa kampuni unategemea mambo kadha wa kadha kama ifuatavyo
Na | MELEZO YA ADA | KIASI KTK TSHS |
Gharama za BRELAKampuni ambayo hisa zake za nomino ni: | ||
– Kati ya Tshs. 20,000/= na Tshs. 1,000,000/= | 95,000 | |
– Kati ya Tshs. 1,000,000/= na Tshs. 5,000,000/= | 175,000 | |
– Kati ya Tshs. 5,000,000/= na Tshs. 20,000,000/= | 260,000 | |
– Kati ya Tshs. 20,000,000/= na Tshs. 50,000,000/= | 290,000 | |
– Zaidi ya Tshs. 50,000,000/= | 440,000 | |
Kampuni isiyo na hisa – company by guarantee | 300,000 | |
Kufaili taarifa muhimu na mhuri | 82,200 | |
Kuomba kuwekewa jina – name reservation | 50,000 | |
Kubadili jina la kampuni | 22,000 | |
Kupokea au kusajili kwa msajili taarifa ambayo kisheria lazima itumwe kwake | 22,000 | |
Faini ya kuchelewesha kufaili kwa mwezi kwa kila taarifa | 2,500 | |
Ada ya kufaili kwa mwaka – annual return fee | 22,000 | |
Kuthibitisha taarifa kwa kila ukurasa | 3,000 | |
Kutafuta faili lolote kwa kila faili | 3,000 | |
Kupewa ripoti iliyoandikwa ya utafutaji wowote kwa kila faili | 22,000 | |
Ada inayotakiwa kulipwa na kampuni ambapo sehemu ya XII sheria inahitaji kufanya hivyo | ||
Gharama zetuKutengeneza MemArt pdf | 100,000 | |
Kuchapa kitabu cha ziada kwa kila kitabu | 20,000 | |
Kuthibitisha kwa mwanasheria kwa kila kitabu (vitabu vitatu) | 150,000 | |
Gharama ufuatiliaji na dharura | 400,000 | |
Gharama za Utaalamu | 300,000 – 700,000 |
Gharama za usajili wa kampuni BRELA kwa ufupi ni
- Gharama za usajili wa kampuni ndogo ya chini hisa za Shs milioni ni Shs. 1,117,200
- Gharama za usajili wa kampuni ya kati hisa za Shs milioni 1 hadi milioni 5 ni Shs. 1,297,200
- Gharama za usajili wa kampuni ya kati hisa za Shs milioni 5 hadi milioni 20 ni Shs.1,432,200
- Gharama za usajili wa kampuni ya kati hisa za Shs milioni 20 hadi milioni 50 ni Shs.1,512,200
- Gharama za usajili wa kampuni ya kati hisa za zaidi ya Shs milioni 50 ni Shs. 1,862,200
- Gharama za usajili wa kampuni isiyo na hisa ni Shs. 1,372,200
- Gharama za usajili wa jina la biashara ni Shs. 80,000
Hatua saba (7) muhimu za kufuata wakati wa kufanya usajili wa kampuni au jina la biashara
- Kulipia angala 60% ya malipo yote, Kutuma taarifa zinazotakiwa (taarifa za kampuni, wenye hisa, wakurugenzi, katibu, hisa nk) – siku ya kwanza
- Utengenezaji wa nyaraka muhimu za usajili na kupigwa muhuri wa mwanasheria – siku ya pili
- Kuanza mchakato wa maombi masafa na kupakia taarifa kwenye mtandao – siku ya tatu
- Kufanya malipo ya usajili BRELA na kutuma maombi – siku ya tatu
- BRELA kupitia maombi, kuhakiki na kutoa mapendekezo kama yapo – siku ya nne, saa nyingine hapa huchukua siku nyingi zaidi hadi 3 au zaidi ya hapo
- Kuyafanyia kazi mapendekezo ya BRELA kama yapo kama hayapo ndio mwisho. Kama yapo baadhi ya sehemu ya hatua ya 3 inaanza tena na kufuata mlolongo wote – siku ya tano
- Kumalizia malipo 40% na kukabidhiwa vyeti na MemArt PDF copy iliyosainiwa
Maelezo zaidi ya namna ya kusajili biashara au kampuni BRELA
- Hatua 10 Rahisi za Kufuata ili Kusajili Kampuni Kupitia Website ya BRELA
- Hatua 10 Rahisi za Kufuata ili Kusajili Jina la Biashara Kupitia Website ya BRELA
Mwisho (End):
Kama umependa makala hii weka maoni yako ya shukrani hapo chini au washirikishe marafiki zako wa kwenye Facebook, Instagram, Linkedin, Whatsapp, Twitter na kwenye email au mitandao mingine ya kijamii. Wasiliana nasi kama unataka kuweka kwenye blogu au website yako kwa maelekezo zaidi
If you found this article helpful please leave the comment below or share to your friends in Facebook, Instagram, Linkedin, Whatsapp, Twitter and in email or other social media. Contact us if you plan to list in your blog or website for further instructions.
__________________________________________________
We offer but not limited to the following:
Business Office Documents Development, Company Registration, Business Plan Development, Curricula Development for colleges, Office Digitization Consultancy, Online Presence and Marketing Consultancy, Leadership and Management Consultancy, Constitution Development and much more
English Form | Fomu ya Kiswahili |
[…] Step #9: Registration and Filing Fees (Different Fees) […]
[…] Hatua #9: Ada za usajili na kufaili (Different Fees) […]
[…] Hatua #9: Ada za usajili na kufaili (Different Fees) […]
Habari naomba msaada wa kusajili kampuni