Jinsi ya Kubuni Biashara na jinsi ya Kubuni Miradi ni kitu kimoja kwa maelezo haya chiniTafsiriBiashara: ni mradi uliobuniwa ili kutatua matatizo au mahitaji ya watu (ambao ndio wateja) kwa malipo au fidia ...
Yafuatayo ni maelezo ambayo inaweza kusaidia maofisa au watu wanaohusika na kutengeneza sera za taasisi mbalimbali. Unachotakiwa kujua kwanza ni vitu vinavyotakiwa kwenye sera. Ni vizuri pia kujua kuwa sera hua...
Ili kuanzisha mradi kuna baadhi ya mambo muhimu ni vyema ukayajua. kulingana na ukubwa wa mradi kifedha na kieneo mambo muhimu yaweza kubadilika. Lakini katika miradi yote angalau haya mambo yanastahili kuzinga...
Wadau wa mradi ni watu au taasisi ambazo zinahusika kwa naman moja au nyingine katika maendeleo ya eneo mradi ulipo. Wadau wanaweza kuwa ni wakazi, wafanyakazi, wageni, wafanyabiashara, au mashirika na taasisi ...
Andiko la Mradi ni maelezo yanayoelezea mradi husika kwa kujibu maswali ya vihatarishi vya mradi, fursa zilizopo, rasilimali na jinsi vitakavyotumika, mpangilio mzima wa kuutekeleza mradi ikiwa ni pamoja na uongozi na usimamizi, mpango endelevu wa mradi kwa hapo baadaye kwa upande wa kitaasisi na kifedha
Benki ni mkopeshaji mkubwa na mgumu kwa mazingira ya Tanzania. Pamoja na hayo benki wana masharti maalumu ambazo nazo hutofautiana kulingana na nani anakopa, anaokopa kiasi gani na kwa ajili ya biashara ipi na ...
Bajeti ya mradi mzimaJumla ya gharama za mradi ni kiasi gani
Mchanganuo wake kulingana na maelezo yote ya mradi na malengo
Mgawanyiko wa gharama hizo ni nini ? Yaani fedha inayo kwenda moja kwa moja...
Tathimini na Ufuatiliaji wa mradiNjia gani za kufuatilia mradi siku kwa siku
Utawezaje kukusanya taarifa za utekelezaji wa mradi kila wakati
Utoaji wataarifa (ripoti) ukoje
Aina za tathimini utak...
Uendelevu wa MradiNi mikakati ipi umeweka ya kuendeleza mradi huu
Mikakati ya kishirika na kitaasisi
Mikakati ya kifedha kwaajili ya uendelevu wa mradi
Mikakati ya Kijamii na kiutamaduni kuling...